Rashda Zunde(@RashdaZunde) 's Twitter Profileg
Rashda Zunde

@RashdaZunde

|Proudly Tanzanian| | God Fearing😊| God's last born| Yanga 💚💛| Mama Asif😊

ID:1442435658618851331

calendar_today27-09-2021 10:27:42

42,1K Tweets

5,8K Followers

930 Following

Rashda Zunde(@RashdaZunde) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu ameruhusu mabinti kuota tena ndoto zao ambazo hapo awali walikua tayari wameshazikatia tamaa.

sasa wanaenda kutimiza ndoto zao.

account_circle
Abdulazack Abdul(@__abdulazack) 's Twitter Profile Photo

📌MAMA KAZINI

1. Kuimarisha Uchumi - Ukuaji
wa pato la taifa katika robo ya pili
mwaka 2021, uchumi uliongezeka
kufikia 4.3%, ukilinganisha na
4% mwaka 2020. Mfumuko wa bei
umeweza kudhibitiwa(chini ya 5%)
huku akiba ya fedha za kigeni
ikiongezeka zaidi.

📌MAMA KAZINI 1. Kuimarisha Uchumi - Ukuaji wa pato la taifa katika robo ya pili mwaka 2021, uchumi uliongezeka kufikia 4.3%, ukilinganisha na 4% mwaka 2020. Mfumuko wa bei umeweza kudhibitiwa(chini ya 5%) huku akiba ya fedha za kigeni ikiongezeka zaidi.
account_circle
Mahmud Jaffer(@JafferMahmud) 's Twitter Profile Photo

📌Juhudi za Rais Samia Suluhu Kupata Soko la Nyama Kimataifa

Tani 3,256 za Nyama Zimeuzwa Nje Katika Kipindi cha Miezi Minne, Thamani yake ni Dola za Kimarekani Milioni 13

📌Juhudi za Rais Samia Suluhu Kupata Soko la Nyama Kimataifa Tani 3,256 za Nyama Zimeuzwa Nje Katika Kipindi cha Miezi Minne, Thamani yake ni Dola za Kimarekani Milioni 13 #mamayukokazini #sisitumekubali
account_circle
Shukuru-Anna Nkya(@ShukuruNkya) 's Twitter Profile Photo

There are two powers in the world; one is the sword and the other is the pen. There is a third power stronger than both, that of women.' — Malala Yousafzai

There are two powers in the world; one is the sword and the other is the pen. There is a third power stronger than both, that of women.' — Malala Yousafzai #NukuuZaWanawake
account_circle
Tanzania Media Women(@TAMWA_) 's Twitter Profile Photo

“Nikiwa kama mratibu wa dawati la Jinsia, la Chuo kikuu cha Tumaini tawi la Dar es Dalaam, tumewapa semina walimu na wafanyakazi kuhusu rushwa ya ngono, na tumezindua Sera ya jinsia chuoni ili kupambana na rushwa hiyo” Mary Kafyome - Mhadhiri, Chuo Kikuu cha Tumaini.

“Nikiwa kama mratibu wa dawati la Jinsia, la Chuo kikuu cha Tumaini tawi la Dar es Dalaam, tumewapa semina walimu na wafanyakazi kuhusu rushwa ya ngono, na tumezindua Sera ya jinsia chuoni ili kupambana na rushwa hiyo” Mary Kafyome - Mhadhiri, Chuo Kikuu cha Tumaini. #VunjaUkimya
account_circle
Ms_Genya(@ScholaDecaprado) 's Twitter Profile Photo

Maatumizi ya mafuta mabaya yanasababisha magonjwa ya moyo, kupitia utafiti uliofanywa unaonesha katika nchi za Afrika ni Afrika kusini tu ambayo ina sheria inayolimit kiwango cha Trans Fat kwenye chakula😕

TAWLA
Global Health Advocacy Incubator


account_circle