Mr Mushi
@mrmushico
ID:1512519916934598667
https://www.instagram.com/mrmushico 08-04-2022 19:57:24
16,0K Tweets
1,8K Followers
1,3K Following
Jana tumeshuhudia faina ya EUROPA yenye hadhi ya juu mnoo..🙌
Hii hapa fainali nyingine.
Ni fainali ya FA CUP ambayo ni derby pia. Itakua ya kuvutia sana.
Itakua ni jumamosi,saa 11 jioni. Mechi hii utaipata ndani ya kifurushi cha POA kwa buku 10 tu. Lipia mapema.
#MfalmeWaBoma
Nisaidie ku Repost 🙏
.
OUTDOOR 🥾: SIZE 40-45
.
BEI: 80,000/=. badala ya 100, 000/=
.
Njoo Whatsapp chap nifanye delivery 🚚🛍️
.
wa.me/message/AQXUYZ…
.
P. S. Mkoani unapokea ndani ya masaa 24 tu 🛍️
.
MIRIAM💜 Carol Ndosi MR BEN Lubasha Jr Daktari Wa Manesi 💉💊
Alhamisi ya leo usikose #pichambao nzuri kutoka kwangu kwa ajili ya ukumbusho na zawadi 🌸
A4 size
Tsh 7,000
Chagua picha unazozipenda nitumie whatsapp au dm nikutengenezee leo
📍Sinza kumekucha
☎️ 0786445451
Delivery nafanya mikoa yote
Chombo hii hapa mchawi mafuta tu ⛽️
Kamatia chombo chako, Songesha miamala mingi zaidi kupitia CRDB SimBanking App, Lipa bili zako zote na ushinde zawadi kabambe Bodaboda au bajaji kila mwezi.
Piga *150*03# au Pakua SimBanking App Play Store au App Store 📱
#SwahibaLanguLako
Wasichana hukosa Hadi siku Tano za masomo kutokana na kukosa Pedi wakati wa masomo.
Hii inachangiwa na gharama kubwa na wazazi wengine kushindwa kumudu.
Join movement kupiga kura:bluefindigital.co.tz/msichana/
#PediBilaKodi #PediBure
Tito Magoti, PG wakili let's join this movement