cousin 420
@420Cousin
Tanzania ni njema atakaye na aje. |T2530SSH| There are many good stories to tell about what our Samia government does daily for the citizens of our country.
ID:2724063808
25-07-2014 11:09:30
39,7K Tweets
16,9K Followers
2,4K Following
Getrude Mollel πΉπΏ cousin 420 ππ«.ππππ€β’πΉπΏ Sio chama cha kuamini hiki, mna miaka 32 na makamu hana gari.. kama chama kaam vitu vidogo hivyo ni disaster ku handle, how about mambo makubwa??
cousin 420 Nchi inafuraha π, hapa ni City Centre mambo ni burdani kabisaa, mpaka anapoondoka 2030 Mungu akijaalia atatuachia nchi iko safi #Kaziinafanyika #SSH #Kaziiendelee #MguuKwaMguu2025
Mama amazifumua barabara za Dar es salaam katika moja na mbili ya kuboresha miundombinu na kuirembesha miundombinu ya Jijiβ¦!!!
Kwa Mama actions speak louder than Words.
#MamaYukoKazini #KinaraWaNishatiSafi #CleanEnergySheros #BingwaWaDemokrasia
Uongo uongo uongoπ€
Nimesikiliza haya mahojiano ya mh Tundu Antiphas Lissu kwa umakini mkubwa anakiri kwa kinywa chake kua alilipiwa madeni yake yote kwa kiinua mgongo chake na hivyo hadai chochote kwenye mafao na akasema kua kilichokua kimebaki ni haki za matibabu na anasema alipewa
MCHANGIENI ILA TUSIRUHUSU UONGO UWE SABABU YA MICHANGO.
1. Maria Sarungi anasema kuwa Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari si kweli Lissu anachodai kwasasa ni stahiki ya malipo ya matibabu vingine amelipwa